Category: Kitaifa
Wanawake wabakwa, nyumba zateketezwa
Wanawake tisa wa Kijiji cha Mabwegere, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, wamelishutumu Jeshi la Polisi wilayani humo kwa kuharibu ushahidi, baada ya kubakwa na kikundi cha vijana wa ‘mwano’ kilichovamia eneo hilo na kuteketeza nyumba kwa moto. Wanawake hao pamoja…
Polisi tatizo migogoro Morogoro – Makalla
Baada ya wananchi wa Wilaya za Kilosa na Mvomero mkoani Morogoro kuwataja wabunge wa mkoa huo kuhusika na migogoro kati ya wakulima na wafugaji, Mbunge wa Mvomero, Amos Makalla, amesema chanzo ni udhaifu wa Jeshi la Polisi. Amos Makalla, ambaye…
Stephen Wasira : Mimi si fisadi
Waziri Wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema yeye ni mtu safi asiye na kasfa ya ufisadi tangu kuzaliwa kwake. Akzungumza katika Ukumbi wa BoT, jijini Mwanza alipokuwa akitangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba…
Tunahitaji Rais dikteta-Msuya
Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya amesema kwamba Tanzania kwa sasa inahitaji Rais mwenye uamuzi mgumu, mwenye kariba ya udikteta. Waziri Mkuu huyo mwenye rekodi ya aina yake ya kutumikia wadhifa huo kwa marais wawili wa awamu ya kwanza na…
Abood, Makalla, Shabiby ni wabunge hatari Moro
Wakati mauaji na uhasama kati ya wakulima na wafugaji yakishika kasi katika wilaya za Kilosa na Mvomero, Morogoro, wananchi wamewalalamikia wabunge wa mkoa huo kuwa wanahusika mgogoro huo, JAMHURI limeweza kuripoti. Taarifa ambazo gazeti hili imezipata zinasema kwamba wananchi hao…
Nguvu ya mawazo katika mafanikio kiuchumi
Kila kitu kinachoonekana duniani kilianza na mawazo. Mawazo ndiyo kiwanda kikubwa cha uumbaji wote unaoonekana duniani. Hata katika vitabu vya dini tunaelezwa kuwa Mungu aliamua (Mawazo) kuumba mbingu na nchi. Ninaposoma Biblia kuhusu habari hizi za uumbaji wa Mungu, kuna…