Category: Kitaifa
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Kipande abanwa Bandari
TCAA nako kwafukuta ufisadi
*Wakurugenzi wahariri Waraka wa Hazina
*Mbinu hiyo yawafanya walipane mamilioni
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inakabiliwa na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Fadhil Manongi, hadi wiki iliyopita bado alikuwa akiendelea na dhima za kiofisi licha ya muda wake wa kung’atuka kuwadia.
Wakati Manongi akijiandaa kuiacha ofisi hiyo, kumekuwa na malalamiko ya matumizi mabaya ya fedha miongoni mwa wakurugenzi ambao ni washirika wake.
Siku za Kipande bandarini zahesabika
*Ni baada ya kuthibitika anatumia vibaya jina la Rais Kikwete, Ikulu
*Amuagiza Mwakyembe amchunguze, wafuatilia kumtukana Balozi
* Mtawa, Gurumo nao wakana, Mwakyembe adaiwa kumwogopa
*Aendelea kukaidi maagizo ya Bodi, amng’oa rasmi aliyeomba kazi yake
Na Deodatus Balile
Siku za Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Mzee Madeni Kipande (58), kuendelea kuwa madarakani zinazidi kuyoyoma baada ya Rais Jakaya Kikwete kukerwa na tabia yake ya kutumia jina la Rais kuhalalisha matendo yake yenye kukiuka sheria za utumishi wa umma.
Habari za uhakika kutoka Ikulu na kwa baadhi ya mawaziri waandamizi, zinasema Rais Kikwete baada ya kupata taarifa za Kipande kutumia vibaya jina lake, alichukia na kuamua kumwita Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, na kumpa maagizo mazito.
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
Habari mpya
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
- Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
- Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
- Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma
- TBS yawakumbusha wazalishaji, wauzaji, wasambazaji kuzingatia usajili wa bidhaa
- Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar
- Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia
- RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC
- JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo
- Mwenyekiti CCM Dk Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu Dodoma
Copyright 2025