Category: Kitaifa
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
Habari mpya
- Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 mbaroni
- Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
- CBE na SWUFE ya China wasaini ushirkiano wa kitaaluma
- Trump, Netanyahu wakutana tena kumaliza vita ya Gaza
- Majaliwa aitaka TRA kuendelea kuongeza ufanisi ukusanyaji kodi
- NIT yaanza kutoa mafunzo ya urubani, yawataka vijana kuchangamkia fursa
- Sagini: Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wananchi kupatiwa kipaumbele
- Balozi Shaibu ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus
- Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya
- Rais Dkt. Samia akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo
- Rais Dkt. Samia akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
- Rais Dkt. Samia ateta na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Access Tanzania
- DIT Mwanza yaanzisha kozi mpya ya Teknolojia ya Uchakataji Ngozi
- Waziri Mkuu Majaliwa afungua kikao cha viongozi TRA
- Tanzania, Korea kufanya mradi wa upanuzi wa mfumo wa Gothomis
Copyright 2024