Category: Kitaifa
Chadema Vs Spika
*Watangaza mkakati wa kumtoa jasho katika Bunge la Bajeti linaloanza leo
*Tundu Lissu: Hatutakubali kuzibwa midomo, asisitiza yeye, wenzake hawatahojiwa
*Ndugai: Sitarajii kuona fujo zinajirudia, Shibuda kutinga na hoja ya kuahirisha bajeti
Wakati Bunge la Bajeti linaanza leo mjini Dodoma, wabunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wametamba kuwa kipindi hiki kiti cha Spika kitatambua makali yao.
Wafanyabiashara dawa za kulevya watajwa
Watanzania 235 wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nje ya nchi, wamekamatwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi mwaka 2012.
Watalii waiingizia Tanzania yavuna 614.4 bil/-
Serikali imeingiza kipato cha Sh bilioni 114.4 kutoka kwa watalii 6,730,178 waliozuru nchini wakitokea mataifa mbalimbali, katika misimu ya 2001/2002 na 2011/2012.
Ridhiwani Kikwete aanika utajiri wake
*Aeleza adha za kuwa mtoto wa Rais, ataja fedha alizonazo benki
*Azungumzia urais 2015, uhusiano wake na Membe, Lowassa
*Achambua mgogoro wake na Hussein Bashe, Dk. Wilbrod Slaa
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete, amefanya mahojiano maalum na Gazeti la JAMHURI nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam, Machi 30, mwaka huu, na kuzungumzia masuala mbalimbali yanayomhusu yeye binafsi na mengine yanayolihusu Taifa.
Mabadiliko ya kiuchumi yanukia Afrika
Mabadiliko makubwa ya maendeleo ya kiuchumi yanatarajiwa kuonekana Afrika, amesema Katibu Mtendaji wa Baraza la Uchumi Afrika, Dk. Carlos Lopes.
Serikali, wananchi wahimizwa kuwajibika
Shirika la Forum Syd Tanzania limeihimiza Serikali kuhakikisha inatimiza wajibu wake kwa kuwahudumia wananchi ipasavyo, na ameitaka na jamii yenyewe kuhakikisha inawajibika ili kuweza kukabili changamoto za umaskini wa kipato.