Category: Kitaifa
Mkurugenzi: Ilala jitokezeni sensa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala, Gabriel Fuime, amewataka wakazi wa Ilala kujitokeza kwa wingi kushiriki sensa ya watu na makazi inayofanyika kuanzia Jumapili wiki hii. Fuime aliiambia JAMHURI mwishoni mwa wiki kuwa kuna umuhimu mkubwa wa wakazi wa Ilala kujitokeza kwenye sense, kwani bila kufanya hivyo mgawo wa fedha kutoka serikalini utapungua.
Ripoti ya majangili yatoka
*Wamo Polisi, Kada CCM, wafanyabiashara
*Vigogo Polisi Kigoma, Mugumu wahusishwa
Idara ya Ulinzi, Kitengo cha Intelejensia cha Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), imetoa ripoti ya ujangili iliyo na majina ya wahusika wakuu na namna wanavyolindwa na vyombo vya dola nchini. JAMHURI imepata ripoti hiyo ya kurasa 30 iliyosainiwa na Mhifadhi wa Intelejensia, Renatus Kusamba.
Balozi za Tanzania aibu tupu
*Baadhi hawajalipwa mishahara miezi sita, zimeajiri Wakenya
*Ufaransa pango Sh milioni 720, wanatumia anwani ya Uganda
*Ofisi zinaporomoka, Kikwete asema Richmond imeiponza nchi
*Membe alia Serikali kukata bajeti yake ikabaki asilimia 44 tu
Sura na heshima ya Tanzania nje ya nchi inashuka kwa kasi kubwa, kutokana na Serikali kuzitelekeza balozi zake nje ya nchi.
Yapo mambo mengi ya aibu yanayowakumba mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi, kwani baadhi ya balozi zinashindwa kulipia huduma ya simu, maji, umeme na baadhi ya magari yanazimika na kuwashwa kwa kusukumwa kama ya uswahilini. Taarifa ya ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama iliyotembelea balozi mbalimbali imeibua uozo wa ajabu.
Majaji maji shingoni
*Maelezo ya Jaji Ramadhani, Luanda moto
*Ripoti ya Ikulu nayo yataka waondolewe
*Lissu ataka wapime, kumshitaki Kikwete
*Amtaka Jaji Kiongozi Fakih Jundu ajiuzulu
Mhimili wa Mahakama umetikisika baada ya kuwapo ushahidi wa wazi kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwa kuwaongezea mikataba ya kazi baadhi ya majaji na kumpandisha cheo mwingine.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
Habari mpya
- Netanyahu: Tutabadili sura ya Mashariki ya Kati
- Bajeti ya kujitegemea ni mwelekeo sahihi Tanzania
- NHC yaanza kubadilisha sura ya Kariakoo, yavunja majengo yote chakavu
- Wasira aeleza sababu zinazoifanya CCM idumu
- Rais Samia amteua Dk Delilah Kimambo kushika nafasi ya Dk Janabi
- Shule ya sekondari Mwanalugali kunufaika na msaada wa milioni 10 kutoka TMRC
- ETDCO yakamilisha miradi wa njia ya kusafirisha umeme Kilovolt 132 Tabora, Katavi
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 17- 23, 2025
- Rais Samia awahimiza wafugaji kushiriki Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo
- Rais Dk Samia akipokea Tuzo ya heshima na shukrani kutoka kwa mwenyekiti wa wafugaji
- Rais Dk Samia akizindua Mpango wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
- Rais Dk Samia akihutubia viongozi mbalimbali, wafugaji Bariadi
- Shamrashamra za uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
- Wananchi Dodoma wanufaika na elimu ya madini katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
- Rais Samia atembelea mradi wa REA Simiyu