JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tumekubali kusarenda kwa watia mimba

Kumekuwapo mjadala mpana unaohusu nafasi ya wanafunzi wajawazito kurejeshwa kwenye mfumo rasmi wa elimu. Jambo hili limezungumzwa kwa miaka mingi bila suluhu. Si jambo jepesi katika mfumo wa maisha ya Kitanzania, hasa tukizingatia kuwa wapo wahafidhina wasiopendelea mageuzi kwenye mambo…

KISA SH 3,000… Azuiwa kufanya mtihani wa taifa

*Mzazi aja juu, ataka Mkuu wa Shule achukuliwe hatua *Mwenyewe ajitetea, asema sababu ni utoro, utovu wa nidhamu Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kinyamwezi iliyopo Pugu, Dar es Salaam, Sophia Said, amezuiwa kufanya mtihani…

Vigogo 5 wasimamishwa Dar

DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Vigogo watano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa ufisadi wa mamilioni ya shilingi. Tayari Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeanza kufanya…

Mnyeti kikaangoni

*Tume ya Haki za Binadamu yabainisha matumizi mabaya ya ofisi *Ashirikiana na mwindaji kuhujumu biashara za mwekezaji *Atuhumiwa kupokea ‘rushwa’ ya visima Uchaguzi Mkuu 2020 *Mwenyewe ang’aka, asema; ‘tusiongee kama wahuni, nendeni mahakamani’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hadhi…

Mkurugenzi NIDA ang’oka

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Arnold Kihaule, ameng’oka katika nafasi yake. Mkurugenzi huyo ameng’oka huku kukiwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watu mbalimbali akiwamo Spika wa…

Polisi wachunguza madai ya Mbunge

MBOGWE Na Antony Sollo Polisi mkoani Geita wameanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni wiki chache zilizopita kuwa maofisa madini mkoani hapa wamewaua kikatili watu sita. Tuhuma hizo zilitolewa bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga, akidai kuwa mmoja…