JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

CRDB inapiga hatua kila kukicha

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Benki ya CRDB imeendelea kupiga hatua kubwa za kupigiwa mfano katika sekta ya fedha nchini, na sasa inatoa huduma katika maeneo yaliyodhaniwa kuwa yanazifaa nchi za Ulaya pekee. Ukiacha kushusha riba, kujenga jengo kubwa,…

Marekani yamnyooshea kidole Mtanzania

*Yamtuhumu kushiriki ugaidi, kusambaza silaha Msumbiji CAPE TOWN Afrika Kusini Peter Charles Mbaga, raia wa Tanzania, anatajwa na Idara ya Fedha ya Marekani kama mmoja wa watu wenye uhusiano na kikundi cha kigaidi cha Msumbiji, ISIS-Mozambique. Mbaga anayefahamika pia kama…

Urusi Vs Ukraine

*Ni pambano la ‘Daudi na Goliati’ uwanjani *Urusi ina kila kitu, makombora mazito, ndege *Marekani, Uingereza zaitosa Ukraine kijeshi *Putin aandaa matumizi ya zana za nyuklia Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Hali inazidi kuwa tete nchini Ukraine na wananchi…

Lugumi kubadili sheria ya mnada

Na Shaban Matutu, Dar es Salaam Hatua ya kukwama kuuzwa mara tatu kwa nyumba mbili za mfanyabiashara, Said Lugumi, imeifanya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufikiria kuboresha sheria ili zitoe mwongozo kwa mali zilizokosa mteja mnadani. Sababu ya kufikiria hilo…

Ummy: Sitaki kusikia kuna uhaba wa damu salama

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa  Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hataki kusikia kuna uhaba wa damu salama na anataka kuona inapatikana muda wote. Akizungumza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ummy, amesema damu salama haipatikani sehemu nyingine…

Ngorongoro, Loliondo sasa hakuna namna

NGORONGORO NA MWANDISHI WETU Kutokana na hali mbaya ilivyo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) na Pori Tengefu la Loliondo (LGCA), serikali haina namna nyingine isipokuwa kuchukua uamuzi mgumu wa kuyanusuru maeneo hayo.  Ndani ya wiki moja,…