JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Dkt Biteko ashuhudia fainali ya Mwalimu Doto Cup Bukombe

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko leo ameshuhudia fainali ya mashindano ya Mwl. Doto CUP 2023, wilayani Bukombe mkoani Geita ambapo Walimu katika wilaya hiyo wameshindana katika  michezo…

Wizara ya Maliasili na Utalii yazidi kuwa tishio, SHIMIWI yang’ara kwenye riadha

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Iringa Wizara ya Maliasili na Utalii imeibuka mshindi namba moja kwenye mbio za mita 3000 na 800 na kutinga fainali kwenye mbio za mita 400 huku ikiingia nusu fainali kwenye mbio za mita 200 katika mashindano…

Tanzania, Marekani kushirikiana katika eneo la ufadhili wa michezo

Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amafanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Michael Battle yaliyojikita katika kuendeleza Sekta za wizara hiyo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Oktoba 3, 2023 jijini Dar…

TASWA yapongeza uteuzi wa Mobhare Matinyi

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kinampongeza Mobhare Matinyi kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Matinyi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa TASWA, umefanywa jana Oktoba Mosi,…

Mzize aipeleka Yanga SC makundi CAFC

KLABU ya Yanga SC imefanikiwa kutinga hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuichapa Al Merreik ya Sudan bao 1-0 mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la Chamazi. Kwa mara ya mwisho Yanga SC kufuzu hatua ya makundfi…

TASWA Media Day bonanza kufanyika Desemba 9,2023

Tamasha maalum kwa ajili ya wadau mbalimbali kutoka vyombo vya habari ‘TASWA Media Day Bonanza’ linatarajiwa kufanyika Desemba 9, 2023. Lengo la bonanza hilo linaloandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ni kuwaweka pamoja kubadilishana mawazo na…