Category: Michezo
Tanzania, Cuba kushirikiana katika mchezo wa ngumi
Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Serikali ya Cuba kupitia Taasisi ya INDER ya nchini humo zimekubaliana kushirikiana katika eneo la kuendeleza mchezo wa ngumi, ambapo mabondia kutoka hapa nchini watapata fursa ya kuweka Kambi Cuba pia…
Uwanja wa Amaan Zanzibar wakaguliwa maandalizi ya AFCON 2027
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Kenya Uganda na Tanzania kuhusu utayari wao wa kuwa wenyeji AFCON 2027, leo hii Julai 31, 2023 wapo Zanzibar ambapo wamekagua Uwanja wa Amaan, hospitali ya Mnazi…
CAF wakunga miundombinu itakayotumika AFCON 2027
Na Eleuteri Mangi, Dar es Salaam Timu ya wataalamu kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ipo nchini kukagua miundombinu ya michezo ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027 endapo nchi za Tanzania, Kenya na Uganda zitapata ridhaa…
Al Hilal wamuwinda Mbappe kwa dau la Pauni Milioni 259
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia imeweka ofa ya kuvunja rekodi ya pauni milioni 259 kumnunua mshambuliaji wa Paris St-Germain Kylian Mbappe. Nahodha huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 24, ambaye amebakiza mwaka…
Klabu ya Simba yakamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Luis Jose Miquissone kwa mkataba wa miaka mitatu. Winga huyo raia wa Msumbiji, aliwahi kuitumikia Simba kabla ya kuuzwa Al Ahly ambayo nayo ilimtoa kwa mkopo kabla ya kutangazwa tena kurejea…
Yanga Princess yaitandika Geita Gold
Yanga Princess imeitandika Geita Gold mabao 3-0 katika mchezo wa kirafiki wa utangulizi katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi linaloendelea Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Baada ya mchezo kukamilika, burudani ya muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali inaendelea huku mashabiki wakiendelea kumiminika uwanjani uwanjani hapo….