JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Kidunda, Wellem nani kuibuka mbabe leo usiku

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bondia Seleman Kidunda anatarajia kushuka dimbani leo usiku kupigana na Assemahle Wellem kutoka Afrika kusini. Baada ya kupima uzito Kidunda ametoa ahadi kwa watanzania ya kulipa kisasi kwa Wellem ambaye miezi michache iliyopita…

Yanga watinga robo fanali kibabe

Na isri Mohamed, JamhuriMedia Klabu ya Yanga imefuzu na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwafunga CR Belouizdad mabao manne kwa Nunge. Mabao hayo manne yamefungwa na Mudathir Yahya, Kennedy Musonda, Aziz Ki na Joseph Guede. Hii…

Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kuanza Februari 12, nchi 140 kuhudhuria nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Francis Mbindi ameeleza kuwa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi…

Mchezaji Quincy promes ahukumiwa kwenda jela miaka 24

Na Isri Mohamed Mchezaji wa klabu ya Spartak Moscow ya nchini Urusi, Quincy Promes mwenye umri wa miaka 32, amehukumiwa kwenda jela miaka 6 baada ya kukutwa na hatia ya kuuza dawa za kulevya. Promes ambaye amewahi kuzitumikia klabu za…

Ivory Coast na hadithi ya ikisikika nyuma geuka…

Na Isri Mohamed Ule msemo wa ikisikika nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza umejidhihirisha wazi kwa timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo licha ya kufuzu hatua ya 16 bora kwa njia ya ‘Best Looser’ lakini wametwaa ubingwa wa…

Moloko atimkia Libya, Al Sadaq Sc

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar Winga wa zamani wa Yanga Raia wa Congo, Jesus Moloko amejiunga na klabu ya AL Sadaqa Benghazi inayoshiriki ligi kuu ya Libya. Moloko ambaye alitemwa na Yanga ili kupisha usajili wa Agustine Okrah Amejiunga na…