Category: Michezo
Baobab Queens kuwa timu ya wanawake ya Azam FC
Uongozi wa Azam FC umeingia makubaliano na timu ya mpira wa miguu ya wanawake kutoka Dodoma, Baobab Queens na rasmi itakua ni timu ya wanawake ya Azam FC. Azam wamefikia makubaliano hayo ili kutekeleza agizo la kikanuni la leseni za…
Taifa Stars yafufua matumaini AFCON 2023
Na Eleuteri Mangi, WUSM Dar es Salaam Timu ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeicharaza timu ya Niger goli 1-0 na kufufua matumaini ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast. Saimon Msuva mfungaji wa…
Tanzanite yaibuka ushindi wa vikapu 69-34 dhidi ya timu ya Taifa ya Eritrea
Na Brown Jonas Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ameshuhudia Timu ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (Tanzanite) ikiibuka na ushindi wa vikapu 69-34 vya Timu ya Taifa ya Eritrea. Mchezo huo wa ufunguzi wa kufuzu mashindano…
Serikali kujenga kiwanja kipya cha michezo jijini Arusha
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Arusha Mkoa wa Arusha umepewa dhamana kubwa ya kitaifa ya kujengwa kiwanja kipya cha michezo na kufanya Tanzania kuwa na viwanja vitatu vinavyokidhi vigezo na mahitaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ili kuandaa…
Timu ya Taifa ya walemavu wa akiliI waenda Ujerumani kushiriki michezo ya dunia
Na Mwandishi Wetu Wawakilishi wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi 26. Msafara huo wa watu 27 umeondoka saa moja asubuhi ya leo, wakipanda ndege…