JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

SIMBA NA YANGA KUAMUA ZAWADI ZA CAF

Na Tatu Saad, JAMHURI Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ limeweka hadharani zawadi kwa Bingwa wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la shirikisho msimu huu 2022/23. Zawadi kwa Bingwa wa Michuano hiyo imewekwa wazi, huku Ligi ya…

VIPERS YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA SC

Na Tatu Saadi, JAMHURI Washiriki pekee wa ligi ya klabu bingwa Afrika kutoka Tanzania  Simba Sc, wameendelea kutembeza kipigo kwa Vipers kwa kuwafunga tena Leo katika uwanja wa mkapa jijini Dar es salaam. Simba Sc wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao…

Aliyekuwa beki wa Mtibwa Sugar Iddy Mobby azikwa leo Shinyanga

Na Tatu Saad, Jamhuri Media Mwili wa aliyekuwa beki wa mtibwa Sugar Iddy Mobby umezikwa leo katika makaburi ya mshikamano, Ngokolo mjini Shinyanga. Mwili huo umehifadhiwa katika nyumba yake ya milele baada ya kufanyiwa ibada katika msikiti wa Madrasatu Aqswa…

Yanga kuminyana na Bamako kesho kwa Mkapa

Na Tatu Saad Jamhuri Media Klabu ya Yanga inatarajia kuingia dimbani kukabiliana na klabu ya Real Bamako ya huko Mali katika mchezo wao wa marudiano wa Kundi D wanaloshiriki katika kombe la shirikisho Afrika. Yanga wataminyana na Real Bamako kesho…

Yanga SC yamtaka Fei Toto kuripoti kambini haraka

Klabu ya Yanga imemtaka mchezaji wake Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ kuripoti kambini haraka iwezekanavyo mara baada ya klabu hiyo kupokea marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala la mchezaji. Hayo yamesema kupitia taarifai liyotolewa na…

Fei Toto awasilisha ombi TFF kuvunja mkataba

Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah ‘Fei toto’ amewasili katika ofisi za shirikisho la mpira wa miguu Tanzania ‘TFF’ karume, jijini Dar es salaam mapema ya leo kuwasilisha maombi ya kulitaka shirikisho hilo kuuvunja mkataba wake na waajiri wake Yanga…