JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Ni Argentina bingwa Kombe la Dunia 2022

Timu ya taifa ya Argentina imefanikiwa kutwaa ubingwa wake wa tatu wa Michuano ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa jumla ya mikwaju ya Penalti 4-2 dhidi ya timu ya taifa ya Ufaransa kwenye mchezo uliohitimishwa kwa dakika 120’…

Bado mnawataka TAKUKURU kwa makipa?

Nadhani mjadala wa kutaka Nahimana achunguzwe utakuwa umefika mwisho. Timu zetu zina makipa lakini kuna tatizo kubwa la makocha wa magolikipa. Tumeshuhudia makipa wazuri wakisajiliwa katika timu zetu wakiwa bora lakini baada ya muda viwango vyao vinashuka kadri muda unavyokwenda. …

Mzimu wa Luis Miquissone ulivyomnasa Percy Tau

Al Ahly ya Misri wanakusudia kuvunja mkataba na mchezaji wa Afrika Kusini, Percy Tau, baada ya mchezaji huyo kupata majeraha katika mechi ya juzi kati ya Al Ahly na Ghazl Al Mahal kwenye mechi ya ligi kuu nchi Misri.  Percy…

Kisa Morocco, Wasauzi wataka Mosimane apewe Bafana Bafana

Baada ya Morocco kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia nchini Qatar kumeubuka hisia mbalimbali miongoni mwa mashabiki na makocha wa timu mbalimbali kuhusu namna ya kuziandaa timu zao za taifa kuelekea mafanikio.  Huko Afrika Kusini kocha wa…

TFF wanapopambanisha ‘Mandonga na Twaha Kiduku’

Kuna kitu kinaendelea katika mechi za Kombe la Shirikisho la Azam ambacho hata mashabiki wa soka hawakifurahii ingawa kwa nje kinaonekana kizuri kwa timu zao. Azam wameshinda 9-0 dhidi ya Malimao FC, Simba nao wameshinda 8-0 na Ihefu nao wakaishindilia…

Hakuna kama Morocco

Hakika hakuna kama Morocco kwa Afrika wala kwa nchi zote za kiarabu baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2022 huko nchini Qatar.  Morocco ndio nchi ya kwanza toka Afrika kutinga katika hatua ya…