Category: Michezo
NMB yatangaza wadhamini NMB Marathon 2022
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Wiki moja kabla ya kufanyika kwa Mbio za Hisani za NMB Marathon ‘Mwendo wa Upendo,’ Benki ya NMB inayoandaa mbio hizo imetangaza wadhamini zaidi ya 20, ambao wameeleza siri ya uamuzi wa kukubali kudhamini kuwa ni kuguswa…
Zaidi ya mil.183/-kuhudumia Timu za Taifa
Na Shamimu Nyaki,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Pauline Gekul, amesema kiasi cha shilingi Milioni 183.5 zimetengwa katika mwaka huu wa fedha 2022/23 kwa ajili ya kuhudumia timu za Taifa. Gekul ameeleza hayo Bungeni jijini Dodoma leo Septemba…
Kewanja FC yaibuka kidedea Kombe la Mahusiano Barrick North Mara
Timu ya Kewanja FC imetwaa ubingwa wa Mashindano ya Soka ya Kombe la Mahusiano “Mahusiano Cup” baada ya kuichapa Murito FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali. Fainali hiyo ilichezwa kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Ingwe mjini Nyamongo…
Yanga,Kipanga watinga raundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa
Timu ya Yanga SC imetinga raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Zalan FC kutoka Sudan Kusini mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika…
Hawa hapa wachezaji waliowahi kucheza Real Madrid na Atletico
Na Wilson Malima,JamhuriMedia Wachezaji ambao wamewahi kuchezea Real Madrid na Atletco de Madrid, kwa vipindi tofauti kuelekea dabi ya Madrid. Katika msimu wa 2022/23 wa LaLiga Santander, kuna wachezaji kadhaa ambao wamebahatika kucheza mechi ya Atlético dhidi ya Real Madrid, wakiwa na…