Category: Maoni ya Mhariri
Biashara ya dawa za kulevya ikomeshwe kwa vitendo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema Serikali inafanya uchunguzi ili kujiridhisha kama watu 19 waliokamatwa nchini China na dawa za kulevya ni Watanzania.
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
Habari mpya
- Ndejembi aipongeza REA
- Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
- TMDA kuteketeza bidhaa tiba zilizokwisha muda wa matumizi na zisizpfaa kwa matumizi
- CCM na changamoto ya vyama vingi
- Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji
- Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa
- Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa
- Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa
- Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira
- Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe
- Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza
- Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 68 ya bilioni 263.1/- Pwani
- Equinor yafanya ziara Bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
- HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’