Category: Maoni ya Mhariri
Biashara ya dawa za kulevya ikomeshwe kwa vitendo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema Serikali inafanya uchunguzi ili kujiridhisha kama watu 19 waliokamatwa nchini China na dawa za kulevya ni Watanzania.
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
Habari mpya
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
- Rais Samia azindua huduma ya saratani KCMC, aahidi ushirikiano
- Bangu: Mfumo wa stakabadhi za ghala ni imara
- Africa Agri Expo Marks 10th Anniversary, Expands Focus on Innovation in Agriculture, Food and Livestock
- REA Zambia yafurahishwa na ubora wa miradi ya umeme Vijijini Tanzania
- MD Twange atoa rai kwa mameneja TANESCO kuongeza kasi kupambana na wizi wa miundombinu ya umeme
- Wiki ya Utumishi wa Umma yasogeza huduma za Taasisi za Umma karibu na wananchi
- Serikali yawakuna wabunge waimwagia sifa marekebisho ya kodi, ushuru na bidhaa
- Prof. Shemdoe : Maafisa utumishi waliokwamisha watumishi kupanda madaraja wachukuliwe hatua
- Wizara ya Nishati yaendelea kutumia nishati safi Expo kutoa elimu kwa wananchi
- FCC yaongeza uhamasishaji kuelekea Siku ya Udhibiti wa Bidhaa Bandia