JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

CHADEMA kuna mahali mmeteleza

NA JOE BEDA RUPIA “Utakitoaje kibanzi ndani ya jicho la mwenzako nawe lako lina boriti ndani yake?” Swali la Yesu Kristo ndani ya Biblia. Linafikirisha sana. Linatafakarisha pia. Hili nimelifikiria wiki hii kutokana na hali inayoendelea ndani ya chama kikuu…

Mwamko wa ulipaji kpdi kwa hiari, chachu ya mqelekeo wa kujitegemea kibajeti

Na DK Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia Waasisi wa taifa letu walipambana na wakoloni ili kujinasua kutoka kwenye makucha ya kutawaliwa na kuamuliwa nini cha kufanya ili hali uwezo wa kufanya hivyo tulikuwa nao. Desemba 09, 1961, tukapata uhuru kamili wa kisiasa…

Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia

✅️ Tanzania yaendelea kujijengea nafasi ya kipekee duniani kama kitovu cha tafiti za miamba ya shinikizo la juu na utalii wa kijiolojia. ✅️ Profesa Abdulkarim Mruma Ahusika na Kuendeleza Urithi wa Tafiti za Mautia Hill 📍Kongwa – Dodoma Katika eneo…

Imani potofu zinavyoweka hatarini maisha ya watoto wenye ugonjwa wa sikoseli Tanzania

Na John Walter WATOTO wengi wenye ugonjwa wa Sikoseli huchelewa kufikishwa hospitalini kutokana na imani potofu zinazohusisha ugonjwa huo na uchawi au laana. Usiku mwingi wa utotoni kwake ulikuwa wa vilio na maumivu makali ya viungo. Mara nyingine alikuwa akishindwa…

Wananchi jiungeni na bima ya afya kuepua gharama kubwa za matibabu-Dk Subi

Na Mwandishi Wetu WANANCHI wamekumbushwa umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ili kujiweka tayari pindi wanapougua wao au ndugu zao ambao ni wanufaika wa bima hiyo, hatua itakayosaidia kuepuza gharama kubwa za matibabu. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi…

Ardhi imekwisha umebaki, udongo wa kuzikia

Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Dar es Salaam Biblia ni miongoni mwa vitabu vya kale zaidi vilivyowahi kusomwa na binadamu. Ndani yake kuna hazina kubwa ya maarifa yanayoweza kumsaidia mtu kuelewa maisha, uumbaji na wajibu wa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka. Miongoni…