JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Zitto awafuata wafanyabiashara na kuomba kura

Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura kwa wafanyabiashara katika soko la mitumba la Mwanga jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 18, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho walipokuwa…

Tanzania, Algeria kushirikiana katika upatikanaji dawa salama

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya…

Mzee Butiku ateta na Dk Nchimbi kwenye mkutano wa hadhara Rorya 

Mgombea mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Emmanuel Nchimbi amekutana na kusaliamiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere Joseph Butiku wakati wa mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu . Dk.Nchimbi ambaye…

Mgombea ACT Wazalendo Jimbo la Sumbawanga achukua fomu

Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini Frank J. Maten, amekabidhi fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa Edwin Matondwa Kachoma mgombea Ubunge kupitia tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo. Kachoma amesema kuwa anaimani atapata nafasi ya…

Zitto : Ni haki yetu kikatiba kushiriki Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo kwasababu ni haki yao ya kikatiba . Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho cha…