JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Siku 100 za Bima ya Afya kwa wote

* Kila Mtanzania sasa kupata huduma bora za afya bila ubaguzi *Serikali, TIRA kuhakikisha bima hii inakuwa endelevu kwa wote *Mkakati ni kuona afya za wananchi zinakuwa bora, uchumi unakua *TIRA wazindua jengo lao la makao makuu Ndejengwa jijini Dodoma Na…

Kwa nini Watanzania watajitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura?

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Watanzania wakijiandaa kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika kesho, kuna dalili ya rekodi za nyuma za wapiga kura kuvunjwa katika uchaguzi huu. Kwa…

Kishindo cha Badru chaanza NCAA

*Akamilisha majengo ya mamilioni yaliyotelekezwa *Askari Uhifadhi waonja neema, posho zapanda *Mamilioni ya Ngorongoro sasa mbioni kulipwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Loliondo Uongozi mpya wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) umeanza kufanya mageuzi makubwa ya utendaji kazi. Miongoni mwa…

Bila uamuzi mgumu Ngorongoro itakufa

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) mwaka 2017 ilifanya Sensa ya Idadi ya Watu na Mifugo kwa watu wanaoishi katika Tarafa ya Ngorongoro. Sensa hiyo ilikuwa maalumu kufanyika katika Tarafa ya…

Mgombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya ACT -Wazalendo aahidi kuleta mabadiliko

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ameahidi kushughulikia changamoto sugu zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo, zikiwemo miundombinu mibovu, elimu yenye michango mingi na kero kwa wavuvi. Katika ziara yake kwenye kata za Msasani…

NLD imeweka vipaumbele vya kumwezesha kijana kujiajiri, yawaomba Watanzania wasifanye makosa Oktoba 29

Mgombea urais kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan, amesema chama chake kimeendesha kampeni za kistaarabu na kisayansi katika mikoa yote 26 nchini, akisisitiza dhamira ya serikali watakayoiongoza kuwa ya kumkomboa Mtanzania kiuchumi na kuwashauri kukichagua chama hicho ili kupata maendeleo….