JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ukikwamwa na mwiba wa samaki kooni, fanya hivi kuutoa

KITOWEO cha mchuzi wa Samaki ni mlo mzuri sana kwa wale wasiopenda mboga. Kuna aina nyingi ya samaki wanaopatikana, ikiwa ni pamoja na samaki wa baharini na samaki wa maji safi. Watu wengi wamekuwa wakila samaki kwa madai kwamba wana…

Trilioni 1.18/- za Rais Samia zavunja ukame wa maendeleo Ruvuma, miaka minne yachanua

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi cha miaka minne tu, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiweka Ruvuma katika ramani ya maendeleo kupitia uwekezaji wa kihistoria wa zaidi ya shilingi trilioni 1.18, ukigusa…

Nusu saa inakutosha tembea pekupeku kila siku

KWA mujibu wa utafiti daktari wa masuala ya afya ya binadamu Hamisi Kote Ali, amegundua kuwa, kugusa ardhi moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia kusawazisha chaji ya umeme mwilini. Anasema hali hiyo inajulikana kama ‘earthing’ au ‘grounding’, inaweza…

Mbeto: Haki ya wananchi kushiriki uchaguzi isiporwe na vyama vya siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesifu kupevuka kwa maono ya kisiasa yalioonyeshwa na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ,aliyeitangazia dunia chama chake kitashiriki uchaguzi Mkuu oktoba mwaka huu bila longolongo. Pia CCM kimebaini kuwepo tofauti…

Mwarobaini uvuvi haramu huu hapa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Ni zama za sayansi na teknoojia. Ndio, teknolojia inapaswa kutumika katika kila eneo ilimradi tu kuleta ufanisi na kuboresha amaisha. Ni ukweli huu ndio umeifanya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kwa mara ya kwanza nchini,…

Salma Kikwete : Sikupata kura za itifaki, nilipambana bila kutishika

ALIKUWA Mwalimu na Mke wa Rais, lakini safari yake haikukamilika kwa kuwa mke wa Rais.  Leo ni Mbunge wa Jimbo la Mchinga,mkoani Lindi akiongoza kwa mfano na dhamira ya dhati. Mama huyo, pia ni mwanasiasa ambaye ni mke wa Rais…