Category: Siasa
Miaka 61 Uhuru wa Ghana: Tunajifunza?
Hotuba ya rais wa kwanza wa Ghana, Kwame Nkrumah siku ya uhuru wa nchi yake Machi 6, 1957 ilikuwa na ujumbe mmoja mzito: Uhuru wa Ghana hautakuwa na maana yoyote iwapo nchi nyingine za Afrika zitabaki chini ya utawala wa…
‘Wakorea Weusi’ watishia amani Mbeya
Na Thompson Mpanji, Mbeya KUIBUKA kwa kundi kubwa la vijana wanaofanya uhalifu bila woga huku wakijiamini kutenda makosa ya jinai hata kutishia maisha na mali za wakazi wa Jiji la Mbeya wanaojiita “Wakorea Weusi”, limezidi kutia hofu na kuwalazimisha wananchi walio…
Mapitio ya sheria za kazi nchini Tanzania
Na Wakili Stephen Malosha Asiyefanya kazi na asile. Hayo ni maneno maarufu sana katika utawala huu wa awamu ya tano. Maneno haya yamekuwa yakitamkwa mara kwa mara na Rais John Magufuli katika kuhimiza Watanzania wafanye kazi. Hii inaonesha kwa namna…
Ya Jacob Zuma ni ya kwetu pia
Kwenye hotuba aliyotoa ndani ya Bunge la Afrika Kusini baada ya kuanguka kwa utawala wa kibaguzi wa nchi hiyo, Mwalimu Julius Nyerere alilalamika jinsi ulimwengu unavyoiona Afrika, siyo kama bara linalojumuisha nchi zaidi ya 50, ila kama nchi moja. Ulimwengu,…
Musoma Vijijini inateketea (2)
Na Dk. Felician Kilahama Sehemu ya kwanza, mwandishi wa makala hii, Dk. Felician Kilahama, alisema amekuwa akizungumza na viongozi mbalimbali katika vijiji alivyotembelea, lakini cha kushanganza hakuwahi kubahatika kukutana na viongozi wa vijiji wenye upeo mzuri na uelewa wa kutosha…
Kujiuzulu Zuma: Watawala Afrika wasiwe ‘miungu watu’
NA MICHAEL SARUNGI Jacob Zuma, Rais mstaafu wa Afrika Kusini ameondoka madarakani baada ya kuwapo shinikizo kutoka ndani ya chama chake cha African National Union (ANC). Zuma amejizulu wadhifa huo Februari 14, mwaka huu, huku akikana kuhusika katika tuhuma mbalimbali…