Category: Makala
UISLAMU NA WAJIBU WA KUFANYA KAZI
Mtume Muhammad (Allaah Amrehemu na Ampe Amani) amesema: “Ni bora kwa mtu kuchukua kamba akaenda mlimani na kuleta mzigo wa kuni mgongoni mwake na kuziuza ili Allaah ailinde heshima yake kuliko yeye kuomba kutoka kwa watu bila kujali kama watampatia…
Jiulize maswali kila asubuhi (2)
Je, unamfahamu mnyama duma (Cheetah)? Wengi wanajua tu kwamba ni kati ya wanyama wenye kasi sana. Duma anakimbia zaidi ya maili 60 kwa saa, lakini wengi wasichokijua kuhusu mnyama huyu ni uwezo wake mkubwa wa kubadili uelekeo kinyume na alikokuwa…
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (7)
Bajeti inakusaidia usijiibie “Ukinunua usilolihitaji, unajiibia,” ni methali ya Sweden. Bajeti inakusaidia kuandika mahitaji ya kweli chini baada ya tafakuri ya kina. Ukinunua kitu kwa vile jirani yako amekinunua unajiibia. Ukinunua kitu ili kumwonyesha mwenzi aliyekuacha kuwa maisha yamekunyokea na…
Muhtasari wa kitabu cha Rais Mkapa (2)
Katika toleo lililopita, tuliona jinsi Mkapa anavyosimulia yale aliyoyafanya wakati akiwa rais. Tuliona, kati ya mambo kadhaa, jinsi ambavyo uundaji wa mamlaka za udhibiti ulivyomsaidia kuweka mambo sawa katika sekta mbalimbali. Endelea… Mheshimiwa Mkapa anaendelea: “Mashirika tuliyoyabinafsisha kama ambavyo nilivyofanya…
Ndugu Rais, tumesoma nini katika kitabu cha Mkapa?
Ndugu Rais, kitabu kilichoandikwa na Rais mstaafu Benjamin William Mkapa kimezinduliwa. Kwa mipango ya Mungu ulikizindua wewe mwenyewe. Ninasema ni mipango ya Mungu kwa sababu sisi wote tuna nafasi ya kuelewa alichokiandika Benjamin William Mkapa, lakini kwa kuwa baba ndiye…
Tanzania kinara wa kupambana na umaskini duniani
Tanzania inaongoza miongoni mwa nchi 15 duniani ambazo zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kupunguza idadi ya watu wanaoishi kwenye umaskini wa kupindukia. Hayo yamebainishwa na Benki ya Dunia ambayo inasema kuwa Tanzania imeibuka kidedea baada ya kuwa na matokeo mazuri kati…



