JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Dkt.Samia anunua magari 727 ya kubebea wagonjwa

Na WAF- Dodoma NAIBU Waziri wa afya Dkt.Godwin Mollel amebainisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za kununua magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) 727 zitazosaidia kurahisisha huduma za rufaa nchini. Dkt.Mollel amesema…

Utafiti: Vifo vya watoto chini ya miaka mitano vyapungua

Na WAF – Dodoma Tafiti zinaonesha kuwa kiwango cha vifo vya watoto chini ya miaka mitano kwa Mwaka 2022 kimefika vifo 43 kwa kila watoto 1,000 waliozaliwa hai ukilinganisha na vifo 67 kwa kila Watoto 1,000 waliozaliwa hai ilivyokuwa kwenye…

CCM haitaacha kuhoji watendaji wa Serikali

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema CCM hakiko tayari kuacha kuhoji na kufuatilia kwa ukaribu miradi mbalimbali ya kimaendeleo na ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali. Chongolo ametoa Kauli hiyo leo Januari 30, 2023 katika Kata ya…

‘Mwaka 2030 utakuwa ukomo magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele’

Na WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendeleza juhudi za ugawaji wa dawa na matibabu kwa wagonjwa wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ili ifikapo 2030 magonjwa hayo yaweze kutokomezwa. Hayo yamesemwa leo na Meneja Mpango Wa Magonjwa yaliyokuwa…

Serikali kurejesha upya gharama za upandikizaji mimba

Na WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na Bima ya Afya…

Uwekezaji wa Serikali kwenye TEHAMA kufanikisha tiba mtandao

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini kwa lengo la kutatua changamoto ya mawasiliano ikiwa ni pamoja na kuvutia uwekezaji na kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi….