Category: Makala
Waziri Masanja afunga mafunzo ya kukabiliana na usafirishaji haramu wanyamapori
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) amefunga mafunzo ya siku tano ya kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya wanyamapori na mimea ndani na nje ya Bara la Afrika uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Akizungumza…
Chana awataka magwiji wa malikale duniani wafanye tafiti Tanzania
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WATAALAM wa fani ya Malikale wa Tanzania na Kimataifa wametakiwa waendelee kufanya tafiti zaidi nchini Tanzania kuibua maeneo zaidi yenye Urithi wa Masalia ya Kale ili jamii iweze kunufaika na matokeo ya tafiti zao. Wito huo umetolewa…
MOI wafanya upasuaji wa kibingwa kwa wagonjwa 7113
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kufanyia upasuaji wa kibingwa wagonjwa 7113 wa tiba ya mifupa ikiwa ni idadi kubwa ukilinganisha na wagonjwa 6793 katika mwaka uliopita huku wagonjwa wa…
Daraja JP Magufuli la sita kwa urefu Afrika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mwanza Daraja la JP Magufuli linalojengwa Mwanza na kuziunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema kupitia Ziwa Victoria linatarajiwa kuwa refu kuliko yote Afrika Mashariki na Kati na la sita kwa urefu barani Afrika kwa takwimu za sasa….
Kinana:Demokrasia imechangia CCM kukaa madarakani muda mrefu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao….
Hifadhi ya Ngorongoro itadumu?
DAR ES SALAAM NA THEONESTINA KAIZA-BOSHE Katika makala iliyopita nilizungumzia mazuri, shutuma na ya kujifunza kuhusu hatua ya serikali kuhamisha Wamasai kwa hiari kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) kwenda Kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga. Nikaipongeza kwa tukio…





