JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Waliokula fedha za rada watumbuliwe

Wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne nilijitahidi kuyapigia kelele masuala mbalimbali ya elimu. Lakini hayupo aliyejali lakini hali hiyo haikunikatisha tamaa. Namkumbuka vyema William Wilberforce, yule mbunge wa Bunge la Uingereza. Huyu hakuchoka kupigania Uingereza ipitishe sheria ya kukomesha…

Rushwa yavuruga Maliasili Maswa

Uongozi wa Pori la Maswa mkoani Simiyu, unatuhumiwa kupokea fedha kutoka kwa wafugaji na kuruhusu mifugo kuingizwa katika pori hilo. Baadhi ya wafugaji wamelalamika kukamatwa na askari wa wanyamapori, ilhali wakiwa wameshawapa fedha ili wawaruhusu kuingiza na kulisha mifugo ndani…

Jinsi ya kupunguza mianya ya ukwepaji kodi

Katika matoleo yaliyopita, gazeti la JAMHURI limeandika kwa kina taarifa ya uchunguzi juu ya mbinu zinazotumiwa na SABmiller kutolipa kodi sahihi. Katika toleo la leo tunakuletea sehemu ya mwisho ambayo ni ushauri kwa Serikali jinsi inavyoweza kupunguza mianya ya kutolipa kodi sahihi….

Obama aungama ‘makosa’ aliyofanya Libya

Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kwa mara ya kwanza kwamba serikali yake ilishindwa katika uvamizi wa Libya mwaka 2011. Amesema hilo huenda ndilo “kosa kubwa” zaidi alilolitenda wakati wa utawala wake. Obama amesema Marekani haikuwa na mpango mahsusi wa…

Haki za binadamu zisimkwaze Magufuli

Zimeanza kujitokeza lawama kwamba Rais John Pombe Magufuli anakwenda nje ya haki za binadamu katika utendaji wake wa kazi, kwa mtindo wake maarufu wa ‘kutumbua majipu’. Baadhi ya watu wanadai kwamba mtindo huo alioubuni Magufuli wa kutumbua majipu unaonekana kuzikiuka…

Ushirikiano wa TANU na ASP kabla ya 1964 (2)

Ushirikiano kati ya TANU na ASP uliongezaka uchaguzi wa Juni 1961 ulipokaribia. ASP ilifungua ofisi kwenye makao makuu ya TANU mwaka 1961. Thabit Kombo alisafiri Dar es Salaam mara kadhaa Aprili kuhakikisha kwamba ofisi ya ASP inafanya kazi Dar es…