JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Mheshimiwa Rais tunaomba yafanye yafuatayo:

Siku chache zilizopita baada ya kuapishwa, umefanya yale ambayo wengi hatukutarajia kama kweli ungeweza kuthubutu kuyafanya pamoja na kaulimbiu yako ya ‘hapa kazi tu’. Wengi hatukuamini kwa sababu tulijua ni walewale wa kunadi visivyotekelezeka kama ilivyokuwa kwa miaka mingine ya…

Jipu ni istilahi mpya ya kisiasa

Jipu ni uvimbe mkubwa unaotunga usaha. Chanco cha jipu kuota sehemu yoyote ya mwili wa mtu ni bacteria, viumbehai vidogo sana visivyoonekana kwa macho ila kwa hadubini, ambavyo huingia sehemu fulani ya mwili na kuozesha sehemu hiyo baada ya kuwashinda…

Mwanasiasa Mmarekani kuitwa Mjamaa ni sawa na tusi la nguoni

Habari nyingi siku hizi zinahusu vitimbi vya mfanyabiashara tajiri Mmarekani Donald Trump, katika kampeni zake za kuwania kuteuliwa mgombea urais kupitia chama cha Republican katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kwenye kampeni hizo kwa upande wa chama cha Democrat, mwanasiasa…

Mtanziko Chuo cha Mahakama Lushoto

Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kilianzishwa kwa sheria ya Bunge namba 405 ya mwaka 1998. Miongoni mwa majukumu ya chuo ni kutoa mafunzo ya sheria ya ndani na ya kimataifa( local and international training) kama itakavyokuwa imeelekezwa na Baraza…

Tuitazame upya elimu tunayotoa (1)

Kwa muda mrefu nchini Tanzania tumekuwa na Wizara ya Elimu ambayo haikusimamia elimu kwa ufanisi. Badala yake tumekuwa na viongozi watendaji wa wizara hiyo ambao wamekuwa wakiweka mbele maslahi yao binafsi. Wakajipatia asilimia kumi kutoka kwa wachapishaji wa vitabu kwa…

Barua ndefu kwa Rais Dk. John Magufuli

Ustaarabu wetu adhimu wa Kiafrika tuliourithi kutoka kwa wahenga wetu, unatutaka vijana kuwa na heshima na kufanya maamkizi kwa wakubwa. Shikamoo Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Ninakuandikia barua hii nikifahamu pasi shaka yoyote kuwa kamwe hutaishangaa. Kama ujuavyo, uandishi wa…