Category: Makala
Waraka kuhusu Bandari kwa Rais John Magufuli
Tanzania inazungukwa na nchi saba ambazo hazina bandari. Nazo ni Malawi, Zambia, DR-Congo, Burundi, Rwanda, Uganda na Zimbabwe. Jiografia ya Tanzania inatoa fursa kubwa sana kibiashara na ajira katika tasnia ya uchukuzi na usafirishaji wa shehena. Kwa kutumia barabara na…
Tunazuia sukari kutoka nje kwa maslahi ya nani?
Februari 18, mwaka huu Rais John Magufuli alitangaza kupigwa marufuku kwa uagizaji wa sukari kutoka nje. Akasema kama kuna haja ya kutoa kibali, basi ni yeye ndiye atakayetoa. Alisema sababu ya hatua hiyo ni kuwa kuna maofisa wa Serikali ambao…
Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa (2)
Mzanzibari mwingine yeye katamka maoni yake hivi, “…endapo chama hicho cha CUF kitasusia uchaguzi huo, kitapata hasara za namna mbili. Mosi, kupoteza madaraka kwa viongozi wake wa juu na pia kuondoa ushawishi wa chama hicho kwenye maamuzi muhimu ya Zanzibar…
Ajira kuchukuliwa na Wakenya, Wahindi ni sahihi!
Yapo malalamiko mengi kutoka kwa Watanzania yanayohusu kazi walizostahili kuzifanya, kuona sasa zikifanywa na wageni. Tunawalaumu raia kutoka Kenya, China, India, Malawi, Burundi na kwingineko duniani, walioingia nchini mwetu maelfu kwa maelfu kufanya kazi mbalimbali. Malalamiko haya ya ndugu zangu…
Yah: Asante Magufuli kuthamini Kiswahili
Kutoka katika uvungu wa moyo wangu, nakupongeza kuhutubia mkutano wako wa Arusha wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki, kwa lugha ya Kiswahili ambayo ni ya Taifa lako na umeonesha huna utumwa wa lugha katika maisha yako. Tumeona mikutano mingi…
Sikio limesikia, akili haijaamka
Siku moja watoto watundu walikuwa wakicheza kwenye uwanja, karibu na bwawa. Wakacheza mpira, wakacheza mchezo wa kukimbizana na michezo mingine mingi. Mwisho walichoka na michezo yao wakaenda kwenye bwawa. Waliokota mawe na kuanza kuyatupa ndani ya bwawa walimokuwa vyura. Kila…