JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Fukuzafukuza inawanyima nini wapinzani Tanzania?

Ni jambo la kushangaza na kusikitisha kuona wapinzani wanapokosa jambo la kuikosoa Serikali ya Awamu ya Tano, wanaanza kukosoa maneno yao wenyewe. Wanakosoa hata kile ambacho wamekuwa wakiimba muda wote kwa namna ya ‘tukipata madaraka ni lazima tufanye namna fulani’. …

Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne

Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yametangazwa siku nyingi kidogo na watu wengi wamejitahidi kuyachambua. Kwa kuwa na mimi ni mdau wa elimu nachukua nafasi hii kuyachambua. Kuna mambo makubwa yaliyojitokeza katika matokeo ya mtihani huo. Kwanza, kuendelea kufanya vibaya…

Rais Magufuli na maslahi mapana ya Taifa (2)

Je, tangu Uhuru hadi mwaka jana wakati wengi wetu tukidai mabadiliko ya sheria, taratibu na kanuni; havikuwapo? Iwapo sheria tena na Katiba ambayo kimsingi ni sheria kuu vipo; iweje Watanzania tudai mabadiliko? Inawezekana waliomtangulia rais wa sasa hawakuvuruga hayo yote;…

Upinzani si kupinga kila kitu

Kambi ya Upinzani bungeni imeanza kuonesha mambo yaliyo kinyume na maana halisi ya upinzani, kuhakikisha inapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.  Hilo ni jambo la kusikitisha na kushangaza ikichukuliwa kwamba kambi hiyo imesheheni watu walio waelewa wa mambo mengi mbalimbali….

ATC ni zaidi ya biashara (2)

Kulikuwa na utatanishi juu ya kuleta mwili wake hapa nyumbani kutokea Uingereza mara baada ya kufariki Oktoba 14, mwaka 1999. Uingereza walitoa ndege ya ROYAL AIRFORCE, ili ilete mwili wa Mwalimu Nyerere. Ni usafiri wa bure kama ilivyo kwa Serikali…

Yoweri Museveni, Rais asiyekubali kushindwa

Katika Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika Februari 18, mwaka huu, waangalizi 50 waliwasili kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakiongozwa na Rais (mstaafu) wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi. Yeye na timu yake waliwasili Uganda Februari 9 na wakaondoka…