Category: Makala
Kupimwa ardhi mjini fuata utaratibu huu
Tunapoongelea upimaji ifahamike kuwa upimaji upo wa aina nyingi. Kutokana na hilo upimaji unaoongelewa hapa ni upimaji miliki. Lakini tunaongelea upimaji miliki wa ardhi mijini na siyo vijijini. Upimaji wa ardhi miliki ni upimaji ambao lengo lake ni kummilikisha mtu…
Fukuzafukuza inawanyima nini wapinzani Tanzania?
Ni jambo la kushangaza na kusikitisha kuona wapinzani wanapokosa jambo la kuikosoa Serikali ya Awamu ya Tano, wanaanza kukosoa maneno yao wenyewe. Wanakosoa hata kile ambacho wamekuwa wakiimba muda wote kwa namna ya ‘tukipata madaraka ni lazima tufanye namna fulani’. …
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yametangazwa siku nyingi kidogo na watu wengi wamejitahidi kuyachambua. Kwa kuwa na mimi ni mdau wa elimu nachukua nafasi hii kuyachambua. Kuna mambo makubwa yaliyojitokeza katika matokeo ya mtihani huo. Kwanza, kuendelea kufanya vibaya…
Rais Magufuli na maslahi mapana ya Taifa (2)
Je, tangu Uhuru hadi mwaka jana wakati wengi wetu tukidai mabadiliko ya sheria, taratibu na kanuni; havikuwapo? Iwapo sheria tena na Katiba ambayo kimsingi ni sheria kuu vipo; iweje Watanzania tudai mabadiliko? Inawezekana waliomtangulia rais wa sasa hawakuvuruga hayo yote;…
Upinzani si kupinga kila kitu
Kambi ya Upinzani bungeni imeanza kuonesha mambo yaliyo kinyume na maana halisi ya upinzani, kuhakikisha inapinga kila kitu kinachokuja mbele yao. Hilo ni jambo la kusikitisha na kushangaza ikichukuliwa kwamba kambi hiyo imesheheni watu walio waelewa wa mambo mengi mbalimbali….
ATC ni zaidi ya biashara (2)
Kulikuwa na utatanishi juu ya kuleta mwili wake hapa nyumbani kutokea Uingereza mara baada ya kufariki Oktoba 14, mwaka 1999. Uingereza walitoa ndege ya ROYAL AIRFORCE, ili ilete mwili wa Mwalimu Nyerere. Ni usafiri wa bure kama ilivyo kwa Serikali…