Category: Makala
Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa
Mwanadamu ni kiumbe tofauti na viumbe wanyama wengineo hapa duniani. Kimaumbile viumbe wanyama wote wako sawa kwa maana wanatawaliwa na silika au vionjo vya miili. Mathalani, kila mnyama anaupenda uhai, hivyo anatambua adui wake na silika inamwelekeza namna ya kujikinga…
Rais Magufuli angazia mafuta ya mawese (2)
Wabunge wazoefu wamelia na kuiomba Serikali isibariki “mauaji” haya kwa wakulima wetu. Wametumia kila aina ya maneno kuwashawishi wakubwa serikalini, lakini mwishowe wameshindwa. Historia itawahukumu kwa haki. Hansard zipo. Nani hawezi kuamini kuwa ushindi ambao serikali imeibuka nao bungeni umetokana…
Yah: Utii bila shuruti dhana ngumu Tanzania
Kuna wakati huwa najiuliza kama kweli kuna watu wengine wanafikiria kama ninavyofikiria mimi kizuzu, hasa katika kipindi hiki cha biashara huria na mfumo wa vyama vingi na mbwembwe za kuomba kura kwa kunadi mahitaji ya wapigakura, bila kujali athari ambazo…
Wazanzibar tupe nguzo ya amani
Miaka mitatu iliyopita, kuanzia Juni 11, 2013 niliandika makala iliyohusu “Haki, Ukweli ni Nguzo ya Amani.” Katika makala yale nilielezea na kufafanua hadharani maana ya HAKI na UKWELI yanavyojenga nguzo ya AMANI katika jamii yoyote duniani. Leo tena nimeona ipo…
Kupata leseni ya kutafuta madini
1. LESENI HUTOLEWA KWA NAMNA MBILI Unapohitaji leseni ya kutafuta madini unapaswa kujua kuwa leseni hizi hutafutwa kwa namna mbili tofauti. Kwanza kwa maombi maalum na pili kupitia zabuni. Sheria mpya ya madini Sheria namba 14 ya 2010 ndiyo kiini…
Chondechonde wapinzani ogopa laana kwa kumsakama Magufuli
Watawala makini, kwa maana ya wafalme, marais na mawaziri wakuu, huwa na namna ya kuendesha nchi na falme ambazo wao ni vinara. Kila mfalme, rais na hata waziri mkuu hutafuta njia iliyo bora anayoona inafaa kuendesha nchi yake kwa manufaa…