Category: Makala
Yah: Dakika zinayoyoma, sera zinauzika, kazi kwa wapambe
Kama ingelikuwa ni mashindano ya mpira, basi tungesema kipindi cha mapumziko kimeshapita na kipindi cha pili kinaelekea kwisha, pambano halihitaji kupigiana penalti mshindi lazima apatikane kwa matokeo yoyote. Wachezaji wote wanatumia nguvu zao zote na kuangalia makosa madogo ya wachezaji…
Hatuheshimu ndevu, hata kidevu!
“Huyu ni mpiganaji kama sisi. Lakini bunduki yake ni tofauti na zetu. Bunduki yetu inaweza kuua askari mmoja kwa wakati mmoja, na mlio wake hausikiki hata Mueda. Lakini bunduki yake (kalamu) inaua maadui wa uhuru kwa mamilioni duniani kote na…
Kushitaki askari wabambika kesi
Imekuwa ni kawaida watu kubambikwa kesi hapa nchini. Mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo kifedha dhidi ya wasio na fedha pia kati ya maofisa wa polisi na raia. Mtu kwa sababu ana pesa au cheo, anaweza…
Nani awafute machozi wamiliki wa daladala?
Kwanza nianze kwa kuwasalimu na kuwapa hongera kwa kipindi hiki cha kampeni za Uchaguzi Mkuu. Najua mashabiki na wafuasi wa wagombea, presha zinapanda na kushuka kila siku. Nawatakia heri kwa kuwa maisha yataendelea hata baada ya Oktoba 25, sisi wa…
Wasiotii sheria wajifunze kuzitii kabla JPM hajaapishwa
Dk. John Magufuli, ameshaanza kampeni kwa ajili ya kuingia Ikulu ifikapo Oktoba, mwaka huu. Kwa kuwa ameshaanza kampeni, wengi wamesikia nini anachokusudia kuifanyia Tanzania na Watanzania. Hadi naandika makala hii, “mtani wa jadi” wa Dk. John Magufuli kwenye mchuano huu…
Yah: Siasa za kuingia Ikulu kwa namna yoyote iwavyo
Hivi sasa tunaelekea katika Uchaguzi Mkuu na kila mwananchi anataka kutumia haki yake ya kimsingi kupiga kura na kumchagua kiongozi anayeona atafaa kumwongoza na kumletea maendeleo katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Viongozi wamefanyiwa mchakato ndani ya vyama vyao na…