Category: Makala
Nauli mpya daladala zawatesa wakazi Dar
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Kamanda Mohamed Mpinga, amesema ni uonevu mkubwa kumtoza mtu nauli kubwa tofauti na ile iliyoelekezwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA). Kamanda Mpinga amewataka wananchi kuwa na…
Utaratibu wa kisheria unaponunua ardhi ya kijiji
Tulipoandika namna bora na taratibu maalum za kufuata unapotaka kununua ardhi, tulisema pia kuwa taratibu za ununuzi wa ardhi huwa zinatofautiana kutegemeana na mazingira ya kila ardhi. Tukasema unaponunua ardhi kwa msimamizi wa mirathi ni tofauti na unaponunua kwa mmiliki…
Tuhoji mpango mpya wa maendeleo wa UN
Mwezi uliopita Umoja wa Mataifa umezindua mpango mpya wa maendeleo na wa kupambana na umaskini duniani kufuatia kufikia tamati kwa Mpango wa Maendeleo ya Milenia. Mpango huu mpya unajulikana kama Sustainable Development Goals, na umepitishwa na viongozi wa nchi wanachama…
Biashara za ‘Kidijitali’
Hihitaji mamilioni kuzalisha mabilioni isipokuwa unahitaji wazo, taarifa, uwezo wa kuwasiliana na ujasiriamali vitakavyokuletea mabilioni. Vile vile miaka ya hivi karibuni hapa nchini Tanzania kuna vijana wamebuni mfumo wa kukata tiketi kwa kutumia simu za mikononi. Kinachofanyika ni kwamba unakata…
Wajibu wa vyombo vya habari katika uchaguzi
Vyombo vya habari vina wajibu mkubwa wa kuripoti kwa umakini na usahihi habari mbalimbali hasa zinazohusu uchaguzi ili kuipa jamii kile ambacho inachostahili. Ili kuviwezesha vyombo hivyo vya habari kufanya kazi yake ipasavyo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea katika…
Safari ya Dk. Magufuli Ikulu
Ufuatao ni uchambuzi wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unaonyambua majukumu atakayofanya Dk. John Magufuli endapo Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza nchi hapo Oktoba 15, mwaka huu. Inaeleza wa kifupi malengo ya CCM katika kipindi cha miaka mitano ijayo…