JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Matamko yanatoka moyoni?

Watanzania mwaka huu wa 2015, ukweli wameuanza kwa shauku kubwa ya kutaka kupata viongozi wapya watakaowaongoza katika miaka mitano ijayo, na kuweka mustakabali wa maisha ya watu na maendeleo ya nchi. Shauku hiyo inatarajiwa kuwafikisha kwenye mshindo mkuu utakaowapatia viongozi…

Mugabe anasema tumuenzi Mwalimu Nyerere; sisi vipi?

Kesho ni Siku ya Nyerere, siku inayoadhimisha miaka 16 tangu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki mwaka 1999. Ni mwaka pia wa Uchaguzi Mkuu; mwaka unaotoa fursa kwa Watanzania kuchagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo kwenye ngazi za udiwani, uwakilishi,…

Hoja nzito za Lowassa kuelekea Ikulu 2015

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Lowassa, amesema: “Watanzania tuna fursa ya pekee kuuondoa utawala wa CCM madarakani na kuleta mabadiliko ya kweli nchini.” Lowassa amesema hayo, katika salamu zake kwa Watanzania katika kitabu cha ilani ya…

Safari ya Dk. Magufuli Ikulu (2)

Mgombea Mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amegundua Watanzania wanahitaji mambo mengi tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika wiki iliyopita Dar es Salaam, Samia anaeleza kuhusiana na kile alichokiona ikiwa ni pamoja…

Wagombea wamesahau uzito wa mama, mtoto

Tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga Tanzania limekuwa likisababisha majonzi makubwa kwa jamii, ongezeko la watoto wa mitaani na hata kupungua kwa nguvu kazi ya Taifa. Ili Taifa changa kama Tanzania liweze kupiga hatua za haraka kimaendeleo, halina…

Magufuli kumuiga Mutharika?

Kampeni za mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli, zinazoendelea kwa sasa zinaonesha kitu kimoja ambacho ni kama hakijatamkwa bayana. Nadhani hakijatamkwa kutokana na kuhofia kukwazwa katika hatua hizi za awali. Sababu pamoja na chama tawala, kuamini…