Category: Makala
Kodi ya simu za mkononi haiepukiki
Na Deodatus Balile Alhamisi, Aprili 10, 2021 Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, aliwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Kwanza kabla sijaijadili bajeti hii, naomba nimshukuru Mheshimiwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kulialika Jukwaa la Wahariri…
Uwekezaji: Fursa ya kuichangamkia – (2)
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita tulitazama namna ambavyo kampuni ya uwekezaji wa pamoja inayomilikiwa na serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango inavyofanya tathmini na utafiti wa kina kabla ya kuwekeza fedha zilizokusanywa. Endelea… Tofauti ni nyingi,…
Binti Arusha aweka rekodi
ARUSHA Na Hyasinti Mchau Binti wa Arusha, Rawan Dakik (20), ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza mwanamke kupanda Mlima Everest. Mlima huo uliopo nchini Nepal, barani Asia, ndio mrefu kuliko yote duniani, kilele chake kikiwa mita 8,849. Rawan, amerejea…
Nafasi ya mwanamke katika Uislamu
Makala hii yenye anuani ‘Nafasi ya mwanamke katika Uislamu’ inakusudia kuweka wazi namna Uislamu ulivyompa heshima mwanamke, kinyume cha yale madai kuwa Uislamu umemdhulumu mwanamke na umemnyima haki zake mbalimbali. Wakati mwingine madai kama haya yanatokana na kukosa kipimo sahihi…
Vijana ni nguvu ya taifa
Taifa lolote duniani linajengwa na nguvu kubwa ya vijana. Wao ndio kundi kubwa na pana katika shughuli za kila siku za binadamu. Ingia katika fani yoyote utakutana na vijana. Rika hii muhimu inaanzia katika umri wa miaka saba hadi thelathini…
Yah: Hapa ndipo tumefika
Kuna wakati niliwahi kuandika waraka nikauliza baadhi ya maswali ambayo nilidhani waliosoma wangesema hili tulijadili kidogo badala ya kupita kimyakimya. Haikuwa hivyo, na kwa kweli ninaendelea kuumia sana kwa sababu sioni mahali ambapo tunasisitiza kuacha majungu. Badala yake tunatafuta namna…