Kikosi cha JKU
Kikosi cha Vipers SC
Kikosi cha Azam FC
Kikosi cha Kator FC
Kikosi cha Singida United
Kikosi cha APR FC

Michuano ya Kagame Cup inaanza rasmi leo kwa mechi tatu kupigwa ambapo saa 8 mchana JKU ya Zanzibari itaanza kibarua chake dhidi ya Vipers SC kutoka Uganda.

Baadaye saa 10 mechi ya rasmi ya ufunguzi itakuwa baina ya mabingwa watetezi, Azam FC dhidi ya Kator FC kutoka Sudan Kusini. Baada ya mechi hiyo majira ya saa 1 jioni, Singida United itacheza na APR ya Rwanda.

Tutarajie nini kwenye Mashindano haya ??

By Jamhuri