![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/DSC_3674-1024x576.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, Bungeni jijini Dodoma, Februari 14.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://www.jamhurimedia.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/a-5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/DSC_3504-1024x585.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Februari 14.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/DSC_3591-1024x575.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba, Bungeni jijini Dodoma, Februari 14.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/DSC_3524-1024x576.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga, Bungeni jijini Dodoma, Februari 14.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)