‘Mfanyabiashara anayedaiwa deni la awali hatopata eneo soko la Kariakoo’
JamhuriComments Off on ‘Mfanyabiashara anayedaiwa deni la awali hatopata eneo soko la Kariakoo’
Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bw. Sigsibert K.Valentine akitoa taarifa kwa waandishi wa habari Dar es Salaam (22 Aprili 2024) kuhusu maandalizi ya wafanyabiashara kurejea sokoni Kariakoo.