Latest Posts
TANESCO,wafanyabiashara chuma chakavu wakubaliana kulinda miundombinu
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Songea Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limeweka makubaliano ya pamoja na wafanyabiashara wa vyuma chakavu mkoani humo katika suala zima la kulinda miundombinu mbalimbali iliowekwa na Serikali kwa maendeleo ya wananchi ikiwemo ya umeme ili…
JK,mkewe watembelea jamii ya Wahadzabe
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na mke wake Mama Salma Kikwete wamezuru jamii ya Wahadzabe wanaoishi katika Kijiji cha Endamagha kilichopo Kata Tarafa ya Eyasi, Wilaya ya Karatu. Katika ziara yao hiyo Dkt. Kikwete na mkewe wamepata fursa…
NHIF yasitisha mkataba vituo 48 vilivyobainika kufanya udanganyifu
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),umesitisha mkataba na vituo vya kutolea huduma 48 na waajiri binafsi 88 ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua watoa huduma 139 wa sekta ya afya. Hayo yamebainishwa leo Julai 11, 2023 na Mkurugenzi…
Rais Samia:Afrika sio salama kwa wala rushwa
Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mkataba wa Umoja wa Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa ni mfumo wa kisheria unaoziwezesha nchi kushirikiana katika kuzuia vitendo vya rushwa,…
‘Kibali wanaume wanaotaka kusuka ni milioni moja’
Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar, Dkt. Omar Adam amesema baraza lao limeweka kibali maalum cha kusuka nywele kwa wanaume ambacho hutolewa kwa gharama ya shilingi milioni moja. Dkt Adam ameyasema hayo akiwa kwenye mahojiano…