Latest Posts
Kinara wa uuzaji dawa za kulevya nchini adakwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfanyabiashara kinara wa mtandao wa kuuza dawa za kulevya aina ya Cocaine nchini amekamatwa na jumla ya gramu 692.336 za dawa hizo zinazohusisha watuhumiwa wengine wanne katika oparesheni maalumu zinazoendelea nchini. Hayo yameelezwa…
EBN Hunting Safari Ltd yatoa gari Burunge WMA kusaidia kupambana na ujangili
Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Kampuni ya Uwindaji wa Kitalii ya EBN Hunting Safari Ltd ambayo inafanya shughuli zake katika kitalu cha uwindaji cha Hifadhi ya Jamii ya Qanyamapori ya Burunge wilayani Babati imetoa gari aina ya Land Cruiser ili kusaidia…
Wabunge Simba na Yanga kukiwasha Januari 27, mwaka huu Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Timu ya wabunge na watumishi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoshabikia timu hasimu za Simba na Yanga wanatarajia kukiwasha katika uwanja wa Jamhuri jijini hapa Januari 27 mwaka huu kwa kuhusisha mchezo 23 ambayo…
MAB yafanya ziara katika viwanda vya dawa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wizara ya Afya kwa TMDA (MAB), wamefanya ziara katika viwanda vinavyozalisha bidhaa za dawa na vifaa tiba vilivyoko katika mikoa ya Dar es Salaam na pwani kwa…
Maporomoko ya maji ni kivutio kizuri Hifadhi ya Kitulo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kitulo Watanzania wamehamasishwa kujenga tabia ya kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo nchini vikiwamo vya Hifadhi ya Taifa Kitulo. Hifadhi hiyo iliyopo kwenye mikoa mwili; Njombe katika Wilaya ya Makete na Mkoa wa Mbeya katika Wilaya za Rungwe…
Biteko : Kutokutatua kero za wananchi kuna kera Rais Samia
📌Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tu 📌Aagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya Machi 📌Awasha umeme Kijiji cha Magodi na Kigandini wilayani Mkinga 📌Apongeza REA kwa ufanisi wa usambazaji umeme mkoani Tanga Naibu…