Latest Posts
Serikali yataka wanafunzi wasio na michango kuendelea na masomo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imewaelekeza walimu wa shule za msingi nchini kutowarudisha nyumbani wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kuwalipia michango mbalimbali na badala yake waachwe kuendelea na masomo. Hayo yameelezwa leo Aprili 5,2024 Jijini…
Tanzania yapokea bilioni 45 kuboresha uzazi wa mpango
Na WAF DSM Serikali ya Uingereza imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania kwa kutoa Bilioni 45 kusaidia kufanikisha huduma za uzazi wa mpango nchini. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, wakati wa hafla ya kumpokea Waziri…
Waziri Mkuu akiwa bungeni katika picha mbalimbali
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, bungeni jijini Dodoma, Aprili 5, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…
Serikaki kuongeza vituo vinne vinavyotoa mionzi kwa wagonjwa saratani
Na WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendelea na taratibu za uwekezaji kwa kuongeza vituo vingine 4 kwa kujenga majengo na kuviwezesha vifaa vitakavyotumika kutibu wagonjwa wa Saratani kwa njia ya mionzi. Waziri Ummy amesema hayo leo Aprili…
Serikali imepiga hatua kiuchumi,kidemokrasia na utawala bora
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akizungumza wakati wa Mkutano wake na Ujumbe kutoka Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC), ulioongozwa na Bw. Nilan Fernando, jijini Dodoma, ambapo walijadiliana maeneo mbalimbali ya ushirikiano…
Benki Kuu yatangaza kupanda kwa riba mpya kutoka asilimia 5.5 hadi 6
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Saalam Benki Kuu ya Tanzania (BOT), kupitia kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imetangaza kupanda kwa Riba mpya ya Benki Kuu yaani (Central Bank Rate-CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya…





