JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CCBRT kituo pekee kinachotengeneza jicho bandia Tanzania

Na Stella Aron, JamhuriMedia Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Sera ambayo imeendelea kutumika katika kuelekeza utoaji wa huduma za afya ilipitishwa mwaka…

Waziri Jafo, Balozi wa Japan wateta ushirikiano katika hifadhi ya mazingira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan hapa nchini, Mhe. Yasushi Misawa katika Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo…

Mchengerwa: Watanzania tuilinde na kuitunza miradi ya afya na elimu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa watanzania kuilinda na kuitunza miradi ya miundombinu ya afya na elimu iliyojengwa na Serikali ili inufaishe kikazi cha sasa na…

Mavunde:Sekta ya madini kufungamanisha sekta nyingine kiuchumi kupitia taarifa za miamba

#Balozi wa Tanzania nchini Brazil kutangaza fursa Sekta ya Madini nchini humo Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Sekta ya Madini inatarajiwa kuwa chanzo cha taarifa sahihi za Miamba itakayosaidia kuendeleza sekta zingine ikiwemo ya Kilimo na Viwanda na…