Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya mojawapo ya Gari lililounganishwa katika Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Watumishi wa Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam mara baada ya uzinduzi tarehe 09 Mei, 2024.
Taswira ya Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited mara baada ya uzinduzi uliofanyika Kiwandani hapo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watumishi wa Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited mara baada ya uzinduzi uliofanyika Kiwandani hapo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024.

By Jamhuri