JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TAMWA Zanzibar yakemea udhalilishaji wa watoto kupitia mitandao ya kijamii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania Zanzibar (TAMWA –ZNZ) kinaiasa jamii kujizuia kurekodi watoto wadogo na kuwaweka katika mitandao baada ya kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwani kufanya hivyo ni kuwadhalilisha zaidi. Dkt. Mzuri Issa, ni mkurungenzi…

Naibu Waziri Marryprisca awataka wamanchi kutunza vyanzo vya maji

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa viti maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji na amewaonya baadhi ya watu wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira…

Viongozi wa dini msichoke kuwaunganisha watu – Biteko

#Atoa wito kujenga Taifa lenye umoja, upendo na mshikamano Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amewataka viongozi wa dini kutochoka kuunganisha watu ili kujenga Taifa lenye Umoja, Amani na Mshikamano Mhe….

Majaliwa atembelea maonesho kabla kabla ya kufungua Wiki ya Huduma ya Fedha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kisongo Arusha ambako alifungua  Maadhimisho ya Wiki ya  Huduma ya Fedha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini humo, Novemba 22, 2023. Wa pili kushoto ni Mkuu…

Dkt.Biteko akagua majengo ya Wizara ya Nishati; Sera,Uratibu na Bunge-Mtumba

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Nishati na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) katika Mji wa Serikali-…