Latest Posts
Halmashauri Kuu Pwani yampa maua yake RC Kunenge kwa usimamizi wa ilani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani HALMASHAURI Kuu ya CCM Mkoa wa Pwani, imeridhishwa na usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Serikali mkoa ambao umetekelezwa kwa asilimia 98 :”;pamoja na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka trilioni…
Al-Shabab kuondolewa Somalia
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud amesema taifa hilo lina muda wa mwaka mmoja kuliondoa kundi la wanamgambo wa Al-Shabaab Agizo hilo limekuja huku muda wa mwisho wa wanajeshi waliosalia wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka ukikaribia mwezi…
Serikali yakabidhi vifaa tiba vya milioni 100/- Kituo cha Afya Magazini Namtumbo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Namtumbo Bohari ya Dawa (MSD) imekabidhi vifaa tiba vya kisasa vya upasuaji kwa Kituo cha Afya cha Magazini kilichopo Kata ya Magazini Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 100….
Wizara yazinadi leseni 441 za utafutaji madini
Miradi ya STAMICO yatajwa London Wizara ya Madini imezinadi Leseni zipatazo 441 za utafutaji wa madini muhimu na mkakati na leseni 46 kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo ambazo ni fursa kwa wawekezaji kwa ajili ya kuingia ubia na…
NMB yazindua programu ya kitaifa ya ugawaji mizinga ya nyuki-Gairo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia BENKI ya NMB imezindua Programu Endelevu ya Ugawaji Mizinga ya Nyuki 500 kwa vikundi 17 vyenye wafugaji zaidi ya 300, katika mikoa ya Morogoro, Tabora na Njombe kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uhifadhi wa Misitu Tanzania…
37 wafariki mkanyagano usajili wa wanajeshi Congo
Takribani watu 37 wamefariki katika mkanyagano wakati wa harakati za kuwasajili wanajeshi katika uwanja wa michezo nchini Congo, serikali imesema. Baadhi ya watu walijaribu kupita kwa nguvu kupitia lango la uwanja wa michezo katika mji mkuu, Brazzaville, na kusababisha mkanyagano….