Latest Posts
DC Same awaonya viongozi wanaotengeneza migogoro ya ardhi
Mkuu wa wilaya ya same Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji dhidi ya tabia iliojikita kwa baadhi yao kutengeneza migogoro hasa ya ardhi ikiwa ni sehemu ya kujipatia kipato. Kasilda amesema amebaini maeneo mengi yenye migogoro imetengenezwa na…
Lori la mafuta lapata ajali na kuwaka moto Ubungo
Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA Lori linalosafirisha Mafuta limepata ajali na kuwaka moto mkubwa katika maeneo ya Ubungo jirani na Kituo cha Mabasi yaendayo Kasi cha Kibo barabara ya morogoro, jijini Dares Salaam. Jeshi la Zimamoto limefika eneo la tukio…
Serikali kutekeleza mradi mkubwa wa maji Manispaa Singida
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA), imetaja mikakati yake ya kuimarisha upatikanaji wa maji na uondoshaji wa majitaka ikiwamo kutekelezwa kwa mradi wa maji wa Miji 28 unaogharimu Sh.Bilioni 45. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti…
Tume yatangaza uchaguzi mdogo wa Mbarali na kata sita
Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya na kata sita za Tanzania Bara utafanyika Septemba 19, 2023. Akisoma taarifa kwa umma jijini Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima amesema wagombea watachukua fomu…
Rais Samia aombwa kuwa kiongozi kinara mapambano ya TB duniani
Geneva, Uswisi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameombwa kuwa miongoni mwa viongozi kinara katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu Duniani kufuatia utekelezaji bora wa afua zinazolenga kutokomeza ugonjwa huo hadi ifikapo 2030….
Tanzania, Cuba kushirikiana katika mchezo wa ngumi
Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Serikali ya Cuba kupitia Taasisi ya INDER ya nchini humo zimekubaliana kushirikiana katika eneo la kuendeleza mchezo wa ngumi, ambapo mabondia kutoka hapa nchini watapata fursa ya kuweka Kambi Cuba pia…