Latest Posts
Dk Biteko asisitiza umuhimu wa EREA sekta ya nishati
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Udhibiti wa huduma za Nishati kwa nchi za Afrika Mashariki (EREA) Dkt. Geoffrey Mabea leo tarehe 26 Februari, 2024 jijini…
Majiko ya gesi 200 yakabidhiwa kwa taasisi na vikundi Kavuu Mlele
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mlele Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amekabidhi majiko mia mbili ya Gesi ya kupikia kwa taasisi…
Sagini atoa maelekezo kwa Jeshi la Polisi kufuatia ajali iliyoua watu 25 Arusha
Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amefika Jijini Arusha na kukagua eneo la ajali lilotokea Februali 24, 2024 katika barabara ya Arusha – Namanga, Eneo la Ngaramtoni kibaoni Wilayani…
Nchimbi : Kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora pigo kubwa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Hassan Wakasuvi ni pigo kubwa, si kwa Mkoa huo pekee, bali Chama, serikali na taifa zima kwa ujumla….
Bandari ya Mbambabay kuunganishwa na reli ya Kusini
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Mbambabay Naibu Waziri wa Uchukuzi Mheshimiwa David Kihenzile amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 70 kuanza uboresha bandari ya Mbambabay ziwa Nyasa mkoani Ruvuma. Amesema mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo ni miezi 24 na…




