‘Ushindi wa Nassari ni hukumu kwa mafisadi’
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema ushindi wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, ni hukumu mpya ya vitendo vya ufisadi vinavyofanywa na viongozi wa Serikali.