Latest Posts
Ulega: Vituo atamizi fursa ya ajira kwa vijana
Na Mbaraka Kambona, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega amesema wizara yake imeanzisha vituo atamizi vya kuwafundisha vijana ufugaji wa kisasa wa mifugo na samaki lengo likiwa ni kujibu changamoto ya ajira kwa vijana iliyopo hapa nchini. Waziri…
Baba amuua mwanaye mlemavu na kumzika porini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Geita Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Elias Bakumye (32), mkazi wa kijiji cha Chikobe, Kata ya Butundwe Wilaya ya Geita mkoani humo kwa tuhuma za kumuua mwanaye mlemavu wa viungo na kumzika porini. Akithibitisha kutokea kwa…
Rais Samia aridhia msahama wa bil.21.3/- za riba ya malimbikizo ya kodi ya ardhi
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia, Mwanza Katika kinachoonekana kuwajali wananchi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia msamaha wa riba ya malimbikizo ya kodi la pango la ardhi ya shilingi Bilioni 21.3 kwa wadaiwa sugu wa kodi…
Wanne wafariki Kenya ‘wakiwa wamefunga kukutana na Yesu’
Watu wanne walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuokolewa wakisubiri ‘mwisho wa dunia unaokaribia’. Polisi walisema kundi hilo lilipatikana katika msitu walimokuwa wakiishi kwa siku…
Kailima ampongeza Waziri Mhagama
Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Jenista Mhagama amesema Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu imezingatia vipaumbele muhimu katika maeneo yote yanayoratibiwa na Ofisi hiyo ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi…