Latest Posts
Simba wamuacha Ayoub Dar, waelekea Ivory Coast
Kikosi cha klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo kimeondoka kuelekea nchini Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika kundi B dhidi ya Asec Mimosas utakaochezwa Ijumaa ya Februari 23, 2024. Simba wamesafiri na wachezaji 23,…
Kuelekea masika 2024 :TMA yapongezwa kwa ushirikiano na wadau
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ameipongeza TMA kwa kuendelea kushirikisha sekta mbalimbali nchini katika shughuli za utoaji wa huduma za hali ya hewa….
Nyongo : Serikaki wekeni mazingira rafiki kwa wawekezaji wa viwanda vya dawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeendelea kutoa wito kwa Serikali kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa viwanda vya dawa ili kuongeza kasi ya upatikanaji wa dawa nchini. Wito huo…
Dk Biteko awasili Mbeya kwa ziara ya kikazi
Aeleza jitihada za Serikali kupunguza changamoto ya umeme Aipongeza Mbeya kwa utekelezaji miradi ya maendeleo Asisitiza siasa zisiwagawe wananchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa ziara…
Sekta binafsi ni mdau wa uchumi na maendeleo- Rais Mwinyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaiangalia sekta binafsi kwa mtazamo chanya wa kuwa mdau muhimu wa uchumi na maendeleo. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Mkutano mkuu…





