Latest Posts
TFC kusambaza zaidi ya tani 75,000 za mbolea ya ruzuku kwa wakulima mchini
Na Allan Vicent, JamhuriMedia,Tabora Kampuni ya Mbolea nchini (TFC) inatarajia kusambaza zaidi ya tani 75,000 za mbolea ya ruzuku iliyotolewa na serikali ya awamu ya 6 kwa wakulima zaidi ya 150,000. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo Samwel…
Halmashauri zatakiwa kupima afya ya udongo ili kuwasaidia wakulima
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora HALMASHAURI za wilaya nchini kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) wametakiwa kutembelea wakulima vijijini na kuwasaidia kupima afya ya udongo ili kutambua aina ya mazao yanayofaa kulimwa katika maeneo yao. Ushauri huo…
Possi: TRC kamilisheni haraka mradi wa treni ya kisasa Dar-Moro-Dodoma
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Shirika la Reli nchini (TRC) limetakiwa kuhakikisha vipande viwili vya mradi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka DSM–Moro na Moro-Makutupora (Dodoma) vinakamilika haraka ili wananchi waanze kutumia treni hiyo. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki…