JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waliokufa na vimbunga Marekani wafikia 26

Takriban watu 26 wamekufa baada ya mfululizo wa vimbunga kuteketeza miji na majiji ya Kusini na Kati mwa Marekani. Nyumba ziliharibiwa na maelfu kuachwa bila umeme baada ya dhoruba kubwa kusababisha uharibifu katika majimbo kadhaa. Kumekuwa na zaidi ya vimbunga…

Rais afanya mabadiliko kwa mabalozi, Polepole apelekwa Cuba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili na uteuzi wa Balozi mmoja kama ifuatavyo: Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa…

Ummy awajulia hali majeruhi ajali ya gesi

Na Mwandishi Wetu,Tanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea majeruhi wa ajali ya gari iliyobeba gesi na kudondoka eneo la Kwamkono wilayani Handeni mkoani Tanga ambao wamelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo. Baada ya majadiliano na…

Makamu wa Rais Sudan Kusini akataa uteuzi

Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar, ambaye pia ni kiongozi wa chama cha upinzani cha SPLM-IO, amekataa uteuzi wa Jenerali Chol Thon Balok kuwa waziri mpya wa ulinzi. Jenerali huyo anatoka chama cha Rais Salva Kiir na anachukua…