JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbarawa atoa maagizo kwa mkandarasi Bukoba

KAGERA: Waziri wa uchukuzi Profesa ,Makame Mbarawa amemtaka mkandarasi anayetekekeza mradi wa upanuzi wa bandari za Kemondo na Bukoba zilizopo wilayani Bukoba mkoani Kagera kuongeza Kasi ya ujenzi wa mradi huo ili kufikia mwezi Mei mwakani. Profesa Mbarawa aliongozana na…

Jando, unyago vyachangia ukatili wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara MKOA wa Mtwara umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayochangia kwa kiasi kubwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa kike hali inayohusishwa wa utekelezaji wa mila za jando na unyago. Akizungumza leo mkoani Mtwara katika…

Wizara ya Ardhi yaanza maboresho katika vyuo vyake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza maboresho katika maeneo ya vyuo vyake vya Ardhi vya Morogoro (ARIMO) na Tabora (ARITA) Hayo yamebainishwa tarehe Novemba 24, 2023 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba…