JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Michuano ya robo fainali za kombe la shirikisho kuanza April

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Shirikisho la soka Tanzania ‘TFF’ hatimaye limeweka bayana tarehe maalum za michezo minne ya hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ msimu huu 2022/2023. Taarifa hiyo muhimu imetolewa kupitia vyanzo vya habari…

Serikali yashauriwa kuanzisha barabara za kulipia tozo

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yaishauri Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuanza na mfumo wa barabara zenye tozo katika mradi wa ujenzi wa barabara njia nane kutoka Kimara Jijini Dar es Salaam hadi Kibaha mkoa wa…

Mahakama yamwachilia huru aliyetuhumuwa kumuua ya askari

Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Imemwachilia huru Amani Philipo Mkazi wa Mbezi Dar es Salaam aliyefunguliwa mashitaka ya mauaji kwa kukusudia ya sajent Mensah wa kituo Cha polisi mabatini,kijitonyama. Uamuzi huo umetolewa Leo Machi 20,…

Rais Samia atoa milioni 878.4 kuboresha mifugo nchini

Na Edward Kondela,JamhuriMedia Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi David Silinde amesema katika kipindi cha miaka miwili tangu Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, serikali imenunua madume ya ng’ombe ya kisasa 366 yenye thamani ya Silingi Milioni 878.4…