JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Monastir: Hatutumii nguvu kuikabili Yanga leo

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Baada ya ushindi mnono wa mabao 7-0 walioupata Simba Sc dhidi ya Horoya ya Guinea katika mchezo wa mzunguko wa tano wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika,leo Yanga Sc wanakutana na US Monastir ya…

Trump asema anatarajia kukamatwa siku ya Jumanne

RAIS wa zamani wa Marekani Donald Trump anasema anatarajia kukamatwa Jumanne katika kesi kuhusu madai ya pesa inayosemekana ililipwa kwa nyota wa zamani wa ponografia. Trump ametoa wito kwa wafuasi wake kupinga hatua hiyo katika chapisho kwenye jukwaa la mtandao…

Madereva wa malori wachapwa viboko na kuporwa fedha Njombe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Malori kadhaa yaliyokuwa yakitoka vijijini kubeba mizigo mbalimbali katika maeneo ya Luponde Halmashauri ya Mji wa Njombe yametekwa na watu wasiofahamika na kuwachapa viboko madereva ili kuwashinikiza kutoa fedha. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi…

Tanzania yapeleka msaada wa chakula Malawi

Jumla ya Tani 1000 za unga wa mahindi zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni miongoni mwa misaada mbalimbali ya kibinadamu kwa nchi ya Malawi iliyoathiriwa na kimbunga Freddy ili kuisaidia nchi hiyo kukabiliana janga hilo….

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza Serikali kwa uwekezaji

Na MayLoyce Mpombo,JamhuriMedia,Kinyerezi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya kuzalisha umeme inayoitekeleza kupitia TANESCO ambayo inakwenda kuondoa changamoto za umeme na kukuza uchumi wa nchi. Pongezi hizo zilitolewa…

Simba yatinga robo fainali kwa kishindo, Chama aondoka na mpira

Timu ya Simba mefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kufanikiwa kuichapa Horoya AC kwa mabao 7-0 katika mchezo wa Kundi C leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao…