Latest Posts
Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto
Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa na Kibagwa mkoani Dodoma limepatiwa ufumbuzi wa kudumu na serikali baada ya ujenzi kukamilika. Daraja hilo…
Serikali kuendelea kuwajengea uwezo wataalam wake
Na WMJJWM- Mwanza Serikali imeahidi kuendelea kuwajengea uwezo wataalam wake ili waweze kuzingatia uwiano wa kijinsia na ujumuishi jamii katika huduma za ustawi wa jamii. Hayo yamesemwa na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Tullo Masanja, wakati akifunga mafunzo ya…
Wadau wakutana kujadili mpango kazi wa uwekezaji wa miundombinu ya hali ya hewa nchini
Na Mwandishi Wetu,JanburiMedia Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) kama Mshauri na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kama Taasisi ya kusimamia Utekelezaji wa…
Waziri Mkuu amtumbua DED Uvinza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kfuatia maelekezo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa ya kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma Zainab Mbunda na Mwekahazina wa Halmashauri hiyo Majid Mabanga, Waziri…
SBL yazindua Tamashala Serengeti Oktoba 2023
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia Bia yake ya Serengeti Lite imezindua Tamasha la Serengeti Oktoba litakalofanyika Oktoba 21,mwaka huu Ufukwe wa Coco, Dar es Salaam. Meneja wa Bia ya Serengeti Lite,…
Kata ya Matimila yaipongeza Serikali uboreshaji miradi ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea WANANCHI wa Kata ya Matimila wilayani Songea mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali kwa kuwaboreshea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya ujenzi wa zahanati na kituo cha afya cha kata hiyo ambacho kimewarahisishia kupata matibabu karibu tofauti…