Latest Posts
DKT. Nchemba ateta na mabalozi wa Canada na Japan
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wawili, Balozi wa Canada na Japan kwa nyakati tofauti ambapo walizungumzia ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta mbalimbali za uzalishaji ikiwemo sekta ya kilimo,…
Fuvu la jemedari wa Wangoni kurejeshwa nchini
Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Wizara ya Maliasili na Utalii imeunda Kamati ya Kitaifa inayosimamia urejeshwaji wa malikale zilizo nje ya nchi,likiwemo fuvu la Jemedari wa Wangoni Nduna Songea Mbano ambalo limehifadhiwa nchini Ujerumani. Jemedari wa wangoni Songea Mbano na wenzake mashujaa…
Rais Samia atengua umiliki wa eneo la AZANIA Investment Mapinga
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amebatilisha,na kutengua umiliki wa shamba namba 934 lililokuwa mali ya AZANIA Investment and management Services Ltd, kitongoji cha Kiembeni Kata ya Mapinga, Bagamoyo Mkoani Pwani ,lenye ukubwa…