JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zaidi ya bil.230/- zinavyotekeleza miradi ya TANROAD Ruvuma

Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 230 kutekeleza miradi mbalimbali ya kitaifa ya Barabara na madaraja mkoani RuvumaMeneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma,Mhandisi Ephatar Mlavi amesema kati ya fedha hizo zaidi ya shilingi bilioni 129 zimetumika kujenga Barabara ya lami…

Jeshi la Polisi nchini, IAA waandika historia mpya

Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) na Jeshi la Polisi Tanzania (TPF) kupitia Shule ya Polisi-Moshi wamezindua rasmi ushirikiano wa kitaaluma, uzinduzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki,katika Chuo Cha Polisi Moshi. Akizindua rasmi ushirikiano huo Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini…

Taasisi za Umma zatakiwa kuendesha vikao vyake kwa mfumo wa e-mkutano

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Subira Kaswaga, amezitaka Taasisi za Umma nchini kuendesha vikao kidijitali kwa kutumia mfumo wa e-Mikutano ili kupunguza gharama za uendeshaji. Kaswaga ametoa leo June 13,2023 Jijini hapa wakati akizungumza na…

Othman: Tumalize migogoro kwa maslahi ya wananchi

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ametoa maagizo kwa Uongozi wa Wilaya ya Micheweni Pemba, kusimamia utatuzi wa haraka wa Mgogoro wa Msitu wa Kijiji cha Shumba Mjini. Othman ameyasema hayo leo, huko katika Ukumbi wa…

Dkt. Slaa aunga mkono uwekezaji ,aishauri Serikari kurekebisha dosari mkataba wa DP World

Balozi Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Slaa…