Latest Posts
DC Ubungo azitaka shule kuweka mifumo madhubuti ya usalama wa wanafunzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hashim Komba, amempongeza Mkurugenzi wa shule za St Anne Marie, Dk. Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye elimu na kutengeneza nafasi za ajira. Ametoa pongezi hizo mwishoni mwa wiki…
Serikali yaridhia uamuzi wa Indonesia kukufua shughuli za kituo cha FARTC Morogoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia uamuzi wa Serikali ya Indonesia wa kufufua shughuli za Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima Vijini (FARTC) kilichopo Mkindo mkoani Morogoro. Rais Samia amesema hayo leo akiwa na…
Dk Mpango awataka Ma-RC,RAS kufuata maadili na nidhamu ya kazi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiweka Saini katika kitabu cha wageni wakati alipowasili katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere – Kibaha Mkoani Pwani kufungua Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Mikoa…
NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar BENKI ya NMB, imetangaza udhamini wa Sh. Milioni 30 wa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2023), yanayotumika kuadhimisha miaka 59 ya Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ). Huu…
Mchengerwa azindua bodi za TTB na TANAPA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha WAZIRI wa Maliasili na Utalii,Mohamed Mchengerwa ameitaka Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kwenda kuondoa utendaji wa mazoea ili kuweka misingi ambayo itaifanya Tanzania kuwa namba moja Afrika na dunia katika…