JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mpango ashiriki hafla ya makabidhiano ya madarasa Buhigwe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanasimamia vema watoto wao kupata elimu kwa mustakbali wa Maisha yao na kuwa na uhakika wa wataalamu mbalimbali wa baadae…

Kunenge: Rais Samia anafanyakazi kubwa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge ameziagiza wilaya, Halmashauri kujiwekea mipango kazi, mikakati ambayo inakwenda kuboresha mazingira ya kibiashara ili kuinua sekta ya biashara katika kuongeza pato la Taifa . Aidha ametoa rai kuimarisha…

Majaliwa akutana na balozi wa Tanzania nchini Uturuki

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Seif Idd Bakari aweke msisitizo katika kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni pamoja na kudumisha diplomasia ya uchumi, kuhamasisha uwekezaji na upatikanaji wa masoko wa bidhaa…