Latest Posts
Kairuki awajia juu walimu wanaotoa adhabu ya viboko kwa wanafunzi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki,amewaonya walimu wanaokiuka Kanuni za Elimu za mwaka 2002 na kutoa adhabu kali kwa wanafunzi Serikali haitosita kuchukua hatua kali dhidi yao. Waziri…
Majaliwa:Wataalamu watumike kukibidhaisha kiswahili
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza Wizara na Taasisi zote zinazohusika na maendeleo ya lugha ya kiswahili wawatumie vema wataalamu wa lugha hiyo waliopo nchini wakiwemo kutoka Vyuo Vikuu, Mabaraza ya Kiswahili na Vyama vya Kiswahili katika kukitangaza na kukibidhaisha kiswahili…
Jenista atoa wito kwa wakazi Mkoa wa Kaskazini Unguja kurasimisha ardhi
Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Jenista Mhagama ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, kurasimisha ardhi ili kupata mtaji wa kujenga nyumba za wageni za kawaida zinazohitajika…
Mamia wafurika kumpokea Tindu Lissu
Hatimaye Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amewasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Ubelgiji na kupokelewa na wafuasi wa chama hicho. Mwanasiasa huyo nguli wa upinzani ambaye awali alikuwa…
Tanzania yafaidika na miradi ya kupambana na hali ya jangwa
Katika kukabiliana na changamoto ya ukame, Tanzania imefaidika na miradi ya kuhamasisha matumizi endelevu ya ardhi hivyo kupunguza kuenea kwa hali ya jangwa na ukame na athari zake. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira)…